Zaidi ya 69 wafa kwa mlipuko Pakistani
HATIMAYE
Uchaguzi Mkuu wa Marudio wa Zanzibar umemalizika na kama ilivyotarajiwa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeshinda kwa ushindi wa asilimia 91.
Michezo & Burudani
Zimevuma kitambo kidogo
Zaidi ya watu sitini na tisa
wamekufa na wengine kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea kwenye eneo la
wazi la kupumzikia lenye shughuli nyingi katika mji wa Lahore nchini
Pakistan.
- 27 Machi 2016
Polisi Pakistani wakabiliana na waandamanaji
Polisi
nchini Pakistani wamekabiliana na waaandamanaji kwa kuwafyatulia
mabomu ya kutoa machozi katika mji mkuu wa Islamabad ambao walikuwa
wakiandamana kupinga hatua ya mpiganaji wa kiislamu kunyongwa
- 28 Machi 2016
Assad asifu jeshi kwa kuikomboa Palmyra
Rais
wa Syria, Bashar al-Assad, amesifu mafanikio makubwa ya jeshi lake ya
kuukomboa kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State, mji wa Palmyra.
- 27 Machi 2016
Fujo lazuka katika ukumbusho Brussels
Polisi
wa kupambana na fujo wamekabiliana na waandamanaji wazungu wanaopinga
kuwepo kwa watu wenye rangi tofauti nchini Ubelgiliji katika medani ya
umma Brussels
- 27 Machi 2016
CAF: Chad yajiondoa Tz mashakani
Chad imejiondoa kutoka
kwenye kinyang'anyiro cha kufuzu kwa dimba la mataifa ya Afrika
inayoratibiwa kufanyika mwakani huko Gabon.
- 27 Machi 2016
- Michezo
Sikiza/ Tazama
Haba na Haba Redio
Sauti
24:05
Malezi ya watoto na maadili Tanzania
Kuna vitu vingi
vinavyochangia malezi ya mtoto lakini malezi yanayotolewa na mama na
baba kama walezi wa mtoto yana mchango gani katika maadili ya Tanzania?
- 22 Machi 2016
Sauti
23:58
Klabu shuleni zachangia kukabili rushwa Tanzania?
Je, klabu za wapinga rushwa shuleni zinaweza kusaidia vipi mapambano dhidi ya rushwa Tanzania?
- 15 Machi 2016
Teknolojia
App ya Facebook kuondoka simu za Blackberry
Kampuni ya Facebook imetangaza kwamba app yake haitatumika tena kwenye simu za Blackberry.
- 25 Machi 2016
Apple yazindua iPhone na iPad Pro ndogo
Kampuni ya Apple imetangaza uzinduzi wa simu ndogo aina ya iPhone pamoja na iPad katika sherehe iliofanyika mjini San Fransisco
- 22 Machi 2016
FBI huenda wakafungua simu ya muuaji
Idara ya Haki ya
Marekani imesema huenda shirika la upelelezi la FBI limegundua njia ya
kufungua simu ya mkononi ya Syed Rizwan Farook.
- 22 Machi 2016
Makala Maalum
Viongozi maarufu katika Twitter na Instagram
Mtandao wa Twitter umekuwa
maarufu kwa maswala ya kisiasa miongoni mwa viongozi wa mataifa kadhaa
pamoja na maafisa wa serikali.
- 21 Machi 2016
Picha
Picha
Kwa Picha: Maadhimisho ya Ijumaa Kuu
Waumini wa Kanisa Katoliki kote duniani wamekuwa wakiadhimisha siku ya Ijumaa Kuu, moja ya siku muhimu katika msimu wa Pasaka.
Picha
Kwa Picha: Mashambulio ya Brussels
Watu zaidi ya 30 wamefariki baada ya milipuko mitatu kutokea katika mji wa Brussels nchini Ubelgiji.
Habari za sasa hivi
Vipindi vya Redio
i y
a Spenkon
SERIKALI imesema itatoa msimamo wake kuhusu Kampuni ya Spenkon inayotekeleza mradi mkubwa wa maji katika Manispaa ya Kigoma Ujiji, baada ya kujiridhisha kinachoendelea katika utekelezaji wa mradi huo.0 Comments Read more...

No comments:
Post a Comment