
Mwarobaini wa kesi waja
WIZARA ya Katiba na Sheria imeeleza hatua za kukomesha ucheleweshaji na usikilizaji wa kesi za jinai ; na kusema itakuwa ikitaka maelezo ya kisheria ya muda mahususi wa kumaliza kesi husika bila kisingizio cha upelelezi kutokamilika.
0 Comments Read more...
No comments:
Post a Comment